Blogu ya Ligonier

Makala yanayochochea akili kutoka kwa wachungaji na walimu wa Biblia wenye vipawa hushughulikia maudhui ya kibibilia, kitheolojia, na utendaji ili kuwatia moyo Wakristo wanaokua katika imani yao. 


3 Julai 2025

Kwa nini Mageuzo Bado Yanamaana

Sasa si wakati wa kuwa na haya kuhusu kuhesabiwa haki au mamlaka makuu ya Maandiko yanayotangaza kuhesabiwa haki. Kuhesabiwa haki kwa imani pekee si mabaki ya vitabu vya historia; inabaki leo kama ujumbe pekee wa ukombozi wa mwisho, ujumbe wenye nguvu ya kina zaidi ya kuwafanya wanadamu kufunguka na kustawi.