Blogu ya Ligonier

Makala yanayochochea akili kutoka kwa wachungaji na walimu wa Biblia wenye vipawa hushughulikia maudhui ya kibibilia, kitheolojia, na utendaji ili kuwatia moyo Wakristo wanaokua katika imani yao. 


4 Septemba 2025

Mambo Matano Unayopaswa Kujua Kuhusu Theolojia ya Agano

Baadhi ya mada huzungumziwa mara kwa mara katika makanisa ya Mageuzo kiasi kwamba inaweza kuwa rahisi kupoteza mkondo wa mambo ya kimsingi. Mojawapo ya mada hizo ni theolojia ya agano. Hebu tuangalie mambo matano ambayo Wakristo wanapaswa kuyajua kuhusu theolojia ya agano.