Waalimu Wataalamu

Waalimu Wataalamu wanaleta vipawa vya kipekee, tajiriba pana, na mtazamo wenye msaada kwa Ligonier Ministries. Wanatumikia kwa kutusaidia kubaki wakweli kwa madhumuni yetu ya asili na pia kuarifu na kueleza uhamasishaji wetu wa siku za usoni. Dkt. R. C. na hilo baraza lilikusanya kundi hili la wanaume kusaidia katika huduma za sasa na za baadaye. Tukimuamini Mungu kwa uaminifu wa kibiblia na kitheolojia (2 Timotheo 2:2), Tunashukuru kwa kundi hili la waalimu wenye vipawa.