4 September 2025
Baadhi ya mada huzungumziwa mara kwa mara katika makanisa ya Mageuzo kiasi kwamba inaweza kuwa rahisi kupoteza mkondo wa mambo ya kimsingi. Mojawapo ya mada hizo ni theolojia ya agano. Hebu tuangalie mambo matano ambayo Wakristo wanapaswa kuyajua kuhusu theolojia ya agano.
